Jamii imetakiwa kushiriki katika ulinzi na usalama wa mtoto.

Ukweli FM Podikasiti
Ukweli FM Podikasiti
Jamii imetakiwa kushiriki katika ulinzi na usalama wa mtoto.
Loading
/

Afisa Ustawi wa Jamii mkoani Morogoro bibi Magreth Henjewele na wadau kutoka shirika la CDO Mvomero wakizungumzia umuhimu wa jamii kushiriki katika ulinzi wa mtoto wa kitanzania katika studio za Radio Ukweli Morogoro.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *